Font Size
Matayo 27:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 27:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Kwa hiyo baada ya kujadiliana waliamua kuzitumia kununua shamba la mfinyanzi, liwe mahali pa kuzikia wageni. 8 Kwa hiyo shamba hili limeitwa ‘Shamba la damu’ hadi leo. 9 Ndipo yakatimia yale aliyonena nabii Yeremia kwamba, “Walichukua vile vipande thelathini vya fedha, thamani aliyopangiwa na wana wa Israeli,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica