Font Size
Matayo 3:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 3:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Mahubiri Ya Yohana Mbatizaji
3 Siku hizo Yohana Mbatizaji alitokea akihubiri katika nyika ya Yudea, akisema, 2 “Tubuni, muache dhambi zenu, mumgeukie Mungu; kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.” 3 Huyu ndiye aliyezungumzwa na nabii Isaya aliposema, “Sauti ya mtu anayeita kwa sauti kubwa huko nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Bwana, nyoosheni sehemu zote atakazopitia.’ ”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica