Font Size
Matayo 3:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 3:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Nao walipoungama dhambi zao aliwabatiza katika mto Yordani. 7 Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili awabatize, aliwaambia, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya muepuke ghadhabu inayokuja? 8 Basi thibitisheni kwa mwenendo mwema kwamba mmeziacha dhambi zenu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica