Font Size
Matayo 3:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 3:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili awabatize, aliwaambia, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya muepuke ghadhabu inayokuja? 8 Basi thibitisheni kwa mwenendo mwema kwamba mmeziacha dhambi zenu. 9 Wala msidhani mnaweza kujitetea mkisema, ‘Sisi ni wana wa Ibrahimu
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica