Font Size
Matayo 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Ajaribiwa Na Shetani
4 Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu mpaka nyikani ili akajaribiwe na shetani. 2 Akakaa huko siku arobaini akifunga, pasipo kula kitu cho chote mchana na usiku, hatimaye akaona njaa. 3 Ndipo shetani akamjia akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica