Font Size
Matayo 4:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Wakaziacha nyavu zao mara moja, wakamfuata.
21 Alipoendelea mbele kidogo, aliwakuta ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakishona nyavu zao; akawaita. 22 Wakaacha nyavu zao mara moja, wakamfuata.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica