Font Size
Matayo 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”
4 Lakini Yesu akamjibu, “Imeandikwa, ‘Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno analotamka Mungu.’ ”
5 Ndipo shetani akampeleka Yesu mpaka mji mtakatifu wa Yerus alemu, akamweka juu ya mnara wa Hekalu, 6 akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa kuwa imeandikwa, ‘Atawaagiza malaika wake wakuhudumie,’ na, ‘Watakuinua juu mikononi mwao ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.’ ”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica