Font Size
Matayo 4:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa, ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ”
8 Kwa mara nyingine shetani akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu akamwonyesha milki zote za dunia na fahari zake, 9 kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukipiga magoti na kuniabudu.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica