Font Size
Matayo 4:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Kwa mara nyingine shetani akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu akamwonyesha milki zote za dunia na fahari zake, 9 kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukipiga magoti na kuniabudu.”
10 Yesu akamwambia, “Ondoka hapa shetani! Kwa maana imean dikwa, ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako na utamtumikia yeye peke yake.’ ”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica