Font Size
Matayo 5:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 5:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Wamebarikiwa wanaoteswa kwa kutenda haki; maana Ufalme wa mbinguni ni wao.
11 Mmebarikiwa ninyi wakati watu watakapowatukana na kuwatesa na kuwasingizia maovu kwa ajili yangu. 12 Shangilieni na kufurahi, kwa maana zawadi yenu huko mbinguni ni kubwa; kwa kuwa ndivyo walivyowatesa manabii waliowatangulia ninyi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica