Font Size
Matayo 6:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 6:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Utupatie leo riziki yetu ya kila siku. 12 Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea. 13 Na usitutie majaribuni, bali utuokoe kutokana na yule mwovu,’ [Kwa kuwa Ufalme na nguvu na utukufu ni vyako milele. Amina.]
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica