Font Size
Matayo 6:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 6:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi mkisema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’ 32 Mambo haya ndio yanay owahangaisha watu wa mataifa wasiomjua Mungu; na Baba yenu wa mbinguni anafahamu kwamba mnahitaji yote hayo. 33 Lakini uta futeni kwanza Ufalme wa mbinguni na haki yake, na haya yote mtaongezewa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica