Font Size
Matayo 6:32-34
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 6:32-34
Neno: Bibilia Takatifu
32 Mambo haya ndio yanay owahangaisha watu wa mataifa wasiomjua Mungu; na Baba yenu wa mbinguni anafahamu kwamba mnahitaji yote hayo. 33 Lakini uta futeni kwanza Ufalme wa mbinguni na haki yake, na haya yote mtaongezewa. 34 Kwa hiyo msihangaike kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajihangaikia yenyewe. Kila siku ina shida zake za kutosha.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica