Font Size
Matayo 6:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 6:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 ili sadaka yako iwe ni siri. Naye Baba yako wa mbinguni anayeona sirini ata kupa thawabu.”
Mafundisho Kuhusu Sala
5 “Na mnaposali, msiwe kama wanafiki; maana wao wanapenda kusimama na kusali katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Nawaambieni kweli, wao wamekwisha kupata tuzo yao. 6 Unaposali, nenda chumbani kwako ufunge mlango na umwombe Baba yako aliye sirini. Na Baba yako aonaye sirini atakupa tha wabu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica