Font Size
Matayo 6:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 6:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 “Mnaposali msirudie maneno yale yale kama wafanyavyo watu wa mataifa wasiomjua Mungu. Kwa maana wao hudhani kwamba watasi kilizwa kwa sababu ya wingi wa maneno yao. 8 Msiwe kama wao, kwa sababu Baba yenu anajua mahitaji yenu hata kabla hamjaomba.” 9 Basi msalipo ombeni hivi: ‘Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica