Font Size
Matayo 7:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Lakini mlango mwembamba na njia ngumu huelekea kwenye uzima, na ni wachache tu wanaoiona.”
Manabii Wa Uongo
15 “Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, unaweza kuchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye michongoma?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica