Font Size
Matayo 7:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Kwa sababu kila aombaye hupewa; naye atafutaye hupata; na abishaye hodi atafunguliwa mlango.
9 “Au ni nani kati yenu ambaye kama mwanae akimwomba mkate atampa jiwe? 10 Au akimwomba samaki atampa nyoka?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica