Font Size
Matayo 8:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 8:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Amponya Mwenye Ukoma
8 Alipotoka mlimani, umati mkubwa wa watu walimfuata. 2 Na mtu mmoja mwenye ukoma akaja akapiga magoti mbele yake akasema, “Bwana, kama ukipenda, unaweza kunitakasa.” 3 Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Napenda. Takasika.” Wakati huo huo yule mtu akapona ukoma wake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica