Font Size
Matayo 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Na mtu mmoja mwenye ukoma akaja akapiga magoti mbele yake akasema, “Bwana, kama ukipenda, unaweza kunitakasa.” 3 Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Napenda. Takasika.” Wakati huo huo yule mtu akapona ukoma wake. 4 Na Yesu akamwambia, “Usiseme cho chote kwa mtu ye yote, lakini nenda ukajionyeshe kwa kuhani na utoe sadaka aliyoamuru Musa, iwe uthibitisho kwa watu kwamba umepona.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica