Font Size
Matayo 8:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 8:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Napenda. Takasika.” Wakati huo huo yule mtu akapona ukoma wake. 4 Na Yesu akamwambia, “Usiseme cho chote kwa mtu ye yote, lakini nenda ukajionyeshe kwa kuhani na utoe sadaka aliyoamuru Musa, iwe uthibitisho kwa watu kwamba umepona.”
Yesu Amponya Mtumishi Wa Askari
5 Yesu alipoingia Kapernaumu, askari mmoja alikuja kumwomba msaada,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica