Font Size
Matayo 8:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 8:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Na Yesu akamwambia, “Usiseme cho chote kwa mtu ye yote, lakini nenda ukajionyeshe kwa kuhani na utoe sadaka aliyoamuru Musa, iwe uthibitisho kwa watu kwamba umepona.”
Yesu Amponya Mtumishi Wa Askari
5 Yesu alipoingia Kapernaumu, askari mmoja alikuja kumwomba msaada, 6 akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani ame pooza, tena ana maumivu makali.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica