Font Size
Matayo 9:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 9:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
28 Alipoingia ndani wale vipofu walimfuata. Akawauliza, “Mnaamini kwamba ninaweza kuwafanya muone?” Wakamjibu, “Ndio Bwana.” 29 Ndipo Yesu akagusa macho yao akasema, “Na iwe kwenu kama mnavyo amini.” 30 Macho yao yakafunguka. Naye akawaonya, “Angalieni mtu ye yote asijue jambo hili.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica