Font Size
Matayo 9:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 9:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 Ndipo Yesu akagusa macho yao akasema, “Na iwe kwenu kama mnavyo amini.” 30 Macho yao yakafunguka. Naye akawaonya, “Angalieni mtu ye yote asijue jambo hili.” 31 Lakini wao walipoondoka walieneza sifa zake katika ile wilaya yote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica