Font Size
Matayo 9:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 9:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
34 Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo kwa uwezo wa mkuu wa pepo.”
Wafanyakazi Ni Wachache
35 Yesu akazunguka kwenye miji yote na vijiji vyote akifundi sha katika masinagogi na kuhubiri Habari Njema za Ufalme, na kuponya kila ugonjwa na kila udhaifu. 36 Alipoona umati wa watu, aliwahurumia kwa sababu walikuwa wanateseka pasipo msaada, kama kondoo wasio na mchungaji.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica