Font Size
Matendo 4:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 4:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
30 Tusaidie, ili tuwe jasiri kwa kutuonesha nguvu zako. Ponya Wagonjwa. Fanya ishara na maajabu kutokea kwa mamlaka[a] ya Yesu mtumishi wako mtakatifu.”
31 Baada ya waamini kuomba, mahali walipokuwa palitikisika. Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, na wakaendelea kuhubiri Habari Njema bila woga.
Ushirika wa Waamini
32 Kundi lote la waamini waliungana katika kuwaza na katika mahitaji yao. Hakuna aliyesema vitu alivyokuwa navyo ni vyake peke yake. Badala yake walishirikiana kila kitu.
Read full chapterFootnotes
- 4:30 mamlaka Kwa maana ya kawaida, “Katika jina la Yesu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International