Font Size
Matendo Ya Mitume 14:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 14:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
23 Na baada ya kuwachagulia wazee viongozi katika kila kanisa, wakawakabidhi kwa Bwana waliyemwamini kwa maombi na kufunga. 24 Basi wakapitia Pisidia wakafika Pamfilia. 25 Na baada ya kufundisha neno la Mungu huko Perga, walikwenda upande wa kusini hadi Atalia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica