Font Size
Matendo Ya Mitume 15:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 15:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Walipofika Yerusalemu walipokelewa na kanisa, mitume na wazee; nao wakatoa taarifa kuhusu mambo yote ambayo Mungu aliyafanya kwa kuwatumia wao. 5 Lakini baadhi ya waamini waliokuwa wakishikilia desturi za Mafarisayo wakasema, “Ni lazima watahiriwe na wafundishwe kushika sheria ya Musa.”
6 Mitume na wazee wa kanisa wakakutana kushauriana juu ya jambo hili.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica