Font Size
Matendo Ya Mitume 4:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
21 Wale viongozi wakawaonya tena kwa vitisho, kisha waka waacha waende. Hawakuona njia ya kuwaadhibu kwa kuwa waliwaogopa wale watu ambao walishuhudia ule muujiza uliotendeka, nao wali kuwa wakimsifu Mungu. 22 Na yule mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa zaidi ya miaka arobaini.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica