Font Size
Matendo Ya Mitume 4:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
35 kwa wale mitume; kila mtu akagawiwa kadiri ya mahitaji yake.
36 Ndivyo ilivyokuwa kwamba Yusufu ambaye mitume walimwita Barnaba, maana yake Mwana wa Faraja, wa ukoo wa Lawi kutoka kisiwa cha Kipro 37 aliuza shamba alilokuwa nalo akaleta fedha alizopata kwa wale mitume.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica