Font Size
Matendo Ya Mitume 4:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Siku ya pili yake viongozi wa Kiyahudi, wazee na waandishi wa sheria walikusanyika Yerusalemu. 6 Walikuwepo Kuhani Mkuu Anasi, Kayafa , Yohana, Aleksanda na ndugu zake Kuhani Mkuu. 7 Wakawaleta wale mitume wawili katikati yao wakawauliza, “Ni kwa uwezo gani au mmetumia jina la nani kufanya jambo hili?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica