Font Size
Matendo Ya Mitume 4:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Walikuwepo Kuhani Mkuu Anasi, Kayafa , Yohana, Aleksanda na ndugu zake Kuhani Mkuu. 7 Wakawaleta wale mitume wawili katikati yao wakawauliza, “Ni kwa uwezo gani au mmetumia jina la nani kufanya jambo hili?” 8 Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu akajibu, “Waheshimiwa viongozi na wazee wa watu,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica