Font Size
Matendo Ya Mitume 4:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Wakawaleta wale mitume wawili katikati yao wakawauliza, “Ni kwa uwezo gani au mmetumia jina la nani kufanya jambo hili?” 8 Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu akajibu, “Waheshimiwa viongozi na wazee wa watu, 9 kama mnatuhoji kuhusu mambo mema aliyotendewa kilema, na jinsi alivyoponywa, tungependa ninyi na watu wote wa
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica