Font Size
Matendo Ya Mitume 4:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 kama mnatuhoji kuhusu mambo mema aliyotendewa kilema, na jinsi alivyoponywa, tungependa ninyi na watu wote wa 10 Israeli mfahamu kwamba, ni kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha lakini Mungu akam fufua kutoka kwa wafu, kwa uwezo wa Yesu, huyu mtu anasimama mbele yenu akiwa mzima kabisa. 11 Huyu Yesu ndiye ‘lile jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilikataa, ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica