Font Size
Matendo Ya Mitume 5:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 5:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Anania Na Safira
5 Pia mtu mmoja jina lake Anania na mkewe Safira waliuza mali yao. 2 Lakini Anania, kwa makubaliano na mkewe akaficha sehemu ya fedha alizopata, akaleta kiasi kilichobakia kwa mitume.
3 Petro akamwambia, “Anania, mbona shetani ametawala moyo wako kiasi cha kukubali kumdanganya Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya fedha ulizopata?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica