Font Size
Matendo Ya Mitume 5:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 5:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Kabla hujauza hilo shamba lilikuwa mali yako. Na hata baada ya kuliuza , fedha ulizopata zilikuwa zako. Kwa nini basi umeamua moyoni mwako kufanya jambo kama hili? Ujue hukumdanganya mtu ila umemdanganya Mungu.”
Ujue hukumdanganya mtu ila umemdanganya Mungu.”
5 Anania aliposikia maneno haya akaanguka chini akafa. Na wote waliosikia maneno haya wakajawa na hofu. 6 Vijana wakaingia wakaufunga mwili wake wakamchukua nje kumzika.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica