Add parallel Print Page Options

11 Yosia alikuwa baba wa Yekonia[a] na ndugu zake.

Walioishi wakati ambao watu walipelekwa utumwani Babeli.

12 Baada ya uhamisho wa Babeli,

Yekonia akawa baba yake Shealtieli.

Shealtieli alikuwa babu wa Zerubabeli.

13 Zerubabeli alikuwa baba yake Abiudi.

Abiudi alikuwa baba yake Eliakimu.

Eliakimu alikuwa baba yake Azori.

Read full chapter

Footnotes

  1. 1:11 baba wa Yekonia Mfalme Nebukadneza aliuangusha mji wa Yerusalemu na kuvunja hekalu mwaka 586 KK na kuwapeleka Babeli wakiwa mateka watu Mashuhuri pamoja na vyombo vya thamani vilivyokuwa hekaluni. Tazama 1 Nya 3:15-16.