Add parallel Print Page Options

12 Baada ya uhamisho wa Babeli,

Yekonia akawa baba yake Shealtieli.

Shealtieli alikuwa babu wa Zerubabeli.

13 Zerubabeli alikuwa baba yake Abiudi.

Abiudi alikuwa baba yake Eliakimu.

Eliakimu alikuwa baba yake Azori.

14 Azori alikuwa baba yake Sadoki.

Sadoki alikuwa baba yake Akimu.

Akimu alikuwa baba yake Eliudi.

Read full chapter