Font Size
Mathayo 1:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Baada ya uhamisho wa Babeli,
Yekonia akawa baba yake Shealtieli.
Shealtieli alikuwa babu wa Zerubabeli.
13 Zerubabeli alikuwa baba yake Abiudi.
Abiudi alikuwa baba yake Eliakimu.
Eliakimu alikuwa baba yake Azori.
14 Azori alikuwa baba yake Sadoki.
Sadoki alikuwa baba yake Akimu.
Akimu alikuwa baba yake Eliudi.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International