Font Size
Mathayo 1:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:14-16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
14 Azori alikuwa baba yake Sadoki.
Sadoki alikuwa baba yake Akimu.
Akimu alikuwa baba yake Eliudi.
15 Eliudi alikuwa baba yake Eliazari.
Eliazari alikuwa baba yake Matani.
Matani alikuwa baba yake Yakobo.
16 Yakobo alikuwa baba yake Yusufu,
Yusufu alikuwa mume wa Mariamu.
Na Mariamu alimzaa Yesu, anayeitwa Masihi.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International