Font Size
Mathayo 1:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
21 Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu.[a] Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”
22 Haya yote yalitokea ili kutimiza maneno ambayo Bwana aliyasema kupitia kwa nabii aliposema:
23 “Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba
na atazaa mtoto wa kiume.
Mtoto huyo ataitwa Emanueli.”(A)
(Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)
Read full chapterFootnotes
- 1:21 Yesu Jina la Yesu maana yake “Bwana anayeokoa”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International