Font Size
Mathayo 1:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Yuda alikuwa baba wa Peresi na Zera. (Mama yao alikuwa Tamari.)
Peresi alikuwa baba yake Hezroni.
Hezroni alikuwa baba yake Ramu.
4 Ramu alikuwa baba yake Aminadabu.
Aminadabu alikuwa baba yake Nashoni.
Nashoni alikuwa baba yake Salmoni.
5 Salmoni alikuwa baba yake Boazi. (Mama yake Boazi alikuwa Rahabu.)
Boazi alikuwa baba yake Obedi. (Mama yake Obedi alikuwa Ruthu.)
Obedi alikuwa baba yake Yese.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International