Add parallel Print Page Options

Salmoni alikuwa baba yake Boazi. (Mama yake Boazi alikuwa Rahabu.)

Boazi alikuwa baba yake Obedi. (Mama yake Obedi alikuwa Ruthu.)

Obedi alikuwa baba yake Yese.

Yese alikuwa baba yake Mfalme Daudi.

Daudi alikuwa baba yake Sulemani. (Mama yake Sulemani alikuwa mke wa Uria.)

Sulemani alikuwa baba yake Rehoboamu.

Rehoboamu alikuwa baba yake Abiya.

Abiya alikuwa baba yake Asa.

Read full chapter