Font Size
Mathayo 1:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Yese alikuwa baba yake Mfalme Daudi.
Daudi alikuwa baba yake Sulemani. (Mama yake Sulemani alikuwa mke wa Uria.)
7 Sulemani alikuwa baba yake Rehoboamu.
Rehoboamu alikuwa baba yake Abiya.
Abiya alikuwa baba yake Asa.
8 Asa alikuwa baba yake Yehoshafati.
Yehoshafati alikuwa baba yake Yoramu.
Yoramu alikuwa baba yake Uzia.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International