Add parallel Print Page Options

Yese alikuwa baba yake Mfalme Daudi.

Daudi alikuwa baba yake Sulemani. (Mama yake Sulemani alikuwa mke wa Uria.)

Sulemani alikuwa baba yake Rehoboamu.

Rehoboamu alikuwa baba yake Abiya.

Abiya alikuwa baba yake Asa.

Asa alikuwa baba yake Yehoshafati.

Yehoshafati alikuwa baba yake Yoramu.

Yoramu alikuwa baba yake Uzia.

Read full chapter