Font Size
Mathayo 12:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 12:16-18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 lakini aliwaonya wasiwaambie wengine yeye alikuwa nani. 17 Hii ilikuwa ni kuthibitisha kile ambacho nabii Isaya alisema alipozungumza kwa niaba ya Mungu:
18 “Hapa ni mtumishi wangu,
niliyemchagua.
Ndiye ninayempenda,
na ninapendezwa naye.
Nitamjaza Roho yangu,
naye ataleta haki kwa mataifa.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International