Font Size
Mathayo 12:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 12:19-21
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Hatabishana au kupiga kelele;
hakuna atakayesikia sauti yake mitaani.
20 Hatavunja wala kupindisha unyasi.
Hatazimisha hata mwanga hafifu.
Hatashindwa mpaka ameifanya haki kuwa mshindi.
21 Watu wote watatumaini katika yeye.”(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International