Font Size
Mathayo 17:20-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 17:20-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
20 Yesu akajibu, “Mlishindwa kumtoa pepo kwa sababu imani yenu ni ndogo sana. Niaminini ninapowaambia, imani yenu ikiwa na ukubwa wa mbegu ya haradali mtaweza kuuambia mlima huu, ‘Ondoka hapa na uende kule,’ nao utaondoka. Nanyi mtaweza kufanya jambo lolote.” 21 [a]
Yesu Azungumza Kuhusu Kifo Chake
(Mk 9:30-32; Lk 9:43b-45)
22 Baadaye, wafuasi walipokusanyika pamoja Galilaya, Yesu aliwaambia, “Mwana wa Adamu atakabidhiwa kwenye mamlaka ya watu wengine,
Read full chapterFootnotes
- 17:21 Nakala zingine za Kiyunani zimeongeza mstari wa 21: “Lakini pepo wa aina hii hutoka kwa kufunga na kuomba.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International