Font Size
                  
                
              
            
Mathayo 17:26-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 17:26-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Petro akajibu, “Watu wengine ndiyo hulipa kodi.”
Yesu akasema, “Basi wana wa mfalme hawapaswi kulipa kodi. 27 Lakini kwa kuwa hatutaki kuwaudhi watoza ushuru hawa, basi fanya hivi: Nenda ziwani na uvue samaki. Utakapomkamata samaki wa kwanza, mfungue kinywa chake. Ndani ya kinywa chake utaona sarafu nne za drakma mdomoni mwake. Ichukue sarafu hiyo mpe mtoza ushuru. Hiyo itakuwa kodi kwa ajili yangu mimi na wewe.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) 
    © 2017 Bible League International