Add parallel Print Page Options

18 Yule mtu akauliza, “Amri zipi?”

Yesu akajibu, “‘Usiue, usizini, usiibe, usiseme uongo, 19 mheshimu baba na mama yako,’(A) na ‘mpende jirani yako[a] kama unavyojipenda wewe mwenyewe.’”(B)

20 Yule kijana akasema, “Ninazitii amri hizi zote. Nifanye nini zaidi?”

Read full chapter

Footnotes

  1. 19:19 jirani yako Mafundisho ya Yesu katika Lk 10:25-37 yanaonesha kwa uwazi kuwa hii ni pamoja na yeyote mwenye uhitaji.