Font Size
Mathayo 19:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 19:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Yule mtu akauliza, “Amri zipi?”
Yesu akajibu, “‘Usiue, usizini, usiibe, usiseme uongo, 19 mheshimu baba na mama yako,’(A) na ‘mpende jirani yako[a] kama unavyojipenda wewe mwenyewe.’”(B)
20 Yule kijana akasema, “Ninazitii amri hizi zote. Nifanye nini zaidi?”
Read full chapterFootnotes
- 19:19 jirani yako Mafundisho ya Yesu katika Lk 10:25-37 yanaonesha kwa uwazi kuwa hii ni pamoja na yeyote mwenye uhitaji.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International