Add parallel Print Page Options

30 Waliimba wimbo kwa pamoja kisha wakaenda kwenye Mlima wa Mizeituni.

Yesu Asema Wafuasi Wake Watamwacha

(Mk 14:27-31; Lk 22:31-34; Yh 13:36-38)

31 Yesu akawaambia wafuasi wake, “Usiku wa leo ninyi nyote mtapoteza imani yangu kwangu. Maandiko yanasema,

‘Nitamwua mchungaji,
    na kondoo watatawanyika.’(A)

32 Lakini baada ya kuuawa, nitafufuka Kisha nitakwenda Galilaya. Nitakuwa huko kabla ninyi hamjaenda huko.”

Read full chapter