Font Size
Mathayo 26:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
34 Yesu akajibu, “Ukweli ni huu, usiku wa leo utasema haunifahamu. Utanikana mara tatu kabla jogoo hajawika.”
35 Lakini Petro akajibu, “Sitasema kwamba sikufahamu! Mimi hata nitakufa pamoja nawe!” Na wafuasi wengine wote wakasema kitu hicho hicho.
Yesu Aomba Akiwa Peke Yake
(Mk 14:32-42; Lk 22:39-46)
36 Kisha Yesu akaondoka pamoja na wafuasi wake na kwenda mahali panapoitwa Gethsemane. Akawaambia, “Kaeni hapa wakati ninakwenda mahali pale kuomba.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International