Font Size
Mathayo 26:50-52
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:50-52
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
50 Yesu akajibu, “Rafiki yangu, fanya ulilokuja kufanya.”
Kisha wale watu wakaja na kumkamata Yesu. 51 Jambo hili lilipotokea, mmoja wa wafuasi wa Yesu alichukua jambia lake na kumkata sikio mtumishi wa kuhani mkuu.
52 Yesu akamwambia, “Rudisha jambia lako mahali pake. Atumiaye jambia atauawa kwa jambia.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International